| Kikundi cha ngoma asili kutoka Mkoani Dodoma kikitoa burudani viwanjani hapo, leo. |
| Wanafunzi wa Shule ya Msingi Magomeni wakionyesha umahiri wa sanaa ya uchoraji. |
| Rais wa Shirikisho la Mchezo wa Bao Tanzania (SHIMBATA) Monday Likwepa akimfundisha kucheza mchezo wa bao Magreth Mapunda, jana wakati maadhimisho hayo. |
| Mchezo wa kukuna nazi ambao asili yake ni Mikoa ya Pwani, Bi. Sophia akionyesha umahiri wa kukuna nazi wakati wa maonyesho hayo. |
| Ngoma ya Solo kutoka Tanga moja tamaduni zinazovutia kuangalia ambapo ilitia fora kwa watizamaji wake kupata burudani ya kutosha. |
| Ngoma ya mganda kutoka kwa wanyasa ikitoa burudani kwa watu waliofika katika uzinduzi hio ulioambatana na maonyesho. |
| Dk. Fenella Mukangara akicheza ngoma ya wanyasa ambayo ilikuwa kivutio kikubwa kwa watizamaji. |
| Mchezo wa bao ulikuwa kivutio kikubwa kwa wananchi waliofika katika viwanja hivyo kushudia mambo mbalimbali ya utamaduni. |
| Mpanda baiskeri naye hakuwa nyuma kuonyesha namna umahiri wake wa kupanda baiskeri. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni