Pia alizungumzia kuhusu mkutano mkutano mkuu utakaofanyika mwezi ujao wenye lengo la kurekebisha katiba ya klabu hiyo na masuala yanayohusu usajili wa wachezaji watakaoitumikia Yanga.
| Mwenyekiti ya Yanga Yusufu Manji akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali kuhusu klabu hiyo, kushoto ni Clement Sanga.(Picha na Emmanuel Ndege) |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni